Msaada Maumivu ya shingo

Joined
Dec 2, 2012
Posts
67
Reaction score
21
Ndugu wenzangu kwanz habar zenu.

Mm jaman naomb msaada wa tiba ya maradh nilonayo.

Kwani shingo inanipa tabu sana.

Hasa pale nnapo amka asubuhi nikigeuza shingo inakua kama ina data ndani.

Then pia nimefanya kama kibonye hivi nyuma ya shingo kwa nje.

Tatzo ni nini wadau.

Au tiba yake ni ipi
 
Mie ningekuwa wewe fasta ningeenda hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…