Msaada: Mayai ya Bata kwenye Incubator

Msaada: Mayai ya Bata kwenye Incubator

zabron k

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
943
Reaction score
1,107
Habari ya leo
Ninataka kutotolesha mayai ya bata wa kisasa kwenye Incubator iliyonunuliwa mwezi uliopita kutoka kampuni ya Kitanzania.

Naomba kujua joto na unyevu kwa mayai ya bata ndani ya incubator linatakiwa kuwa kiasi gani?

NB- Mayai nitachukua kwa mdau mwenzetu anayefugia Chanika DSM
 
Sorry bata wa kisasa ndio bata gani hao hebu tuwekane sawa kwanza.
 
Ngoja Wataalam Waje Nami Nipate Maarifa Nina Pekin Wanataga Sasa Wale Hawaltamii. Nawaza Kumpa Bukini Anayetaga Maana Yule Huwa Anaatamia
 
Nimefanikiwa
IMG_20230213_172506_780.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230213_172506_780.jpg
    IMG_20230213_172506_780.jpg
    49.5 KB · Views: 40
Back
Top Bottom