dogojanja 87
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 882
- 213
Nenda kwenye kituo cha kilimo cha karibu nawe
Kuna mbegu mpya wamezigundua siku hizi zinazohimili magonjwa na kutoa mazao mengi.
nisaidie kwa hapa dar,kituo kipo wapi?
Mikocheni na Kibaha. Pia na Mkuranga. Wadau wengine ambao.utapata Mbegu ya kutosha ni Kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele- Mtwara. Huko utapata mbegu za kutosha.