Msaada: Mbwa akilishwa Sumu huduma ya kwanza ni kufanya nini?

Msaada: Mbwa akilishwa Sumu huduma ya kwanza ni kufanya nini?

Kiokotee

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,675
Reaction score
2,211
Jirani yangu Mbwa wake Vibaka wamemuwekea sumu, amekufa anamuangalia hajui afanyeje! Nahofia na mimi hawa wa kwangu, maana wananisaidia sana na Hawa panya road wa kitaa.
 
Jirani yangu Mbwa wake Vibaka wamemuwekea sumu,Amekufa anamuangalia hajui afanyeje! Nahofia na mimi hawa wa kwangu,Maana wananisaidia sana na Hawa panya road wa kitaa.
Mkuu kama huna utaalam wowote wa kum-handle mbwa anayetaabika, iwe ni kwa sumu au ajali yoyote bora ukubaliane na matokeo.

Lakini Kama una ABC's za wanyama hatari (mbwa akiwa ni mmojawapo) waweza kutumia mkaa uliosagwa kwa kumnywesha kama hatua ya Awali. Waweza pia kutumia maziwa fresh na Kama unauzoefu na sio mwoga, tumia Atropine sulphate injectable na mpumzishe na usimsumbue wala kujaribu kumtapisha.

NB: Kuwa mwangalifu sana kwani anaweza kukujeruhi vibaya.
 
Mkuu kama huna utaalam wowote wa kum-handle mbwa anayetaabika, iwe ni kwa sumu au ajali yoyote bora ukubaliane na matokeo.
Lakini Kama una ABC's za wanyama hatari (mbwa akiwa ni mmojawapo) waweza kutumia mkaa uliosagwa kwa kumnywesha kama hatua ya Awali. Waweza pia kutumia maziwa fresh na Kama unauzoefu na sio mwoga, tumia Atropine sulphate injectable na mpumzishe na usimsumbue wala kujaribu kumtapisha.
NB: Kuwa mwangalifu sana kwani anaweza kukujeruhi vibaya.
Ahsante, Ingawa umenisimanga!
 
Back
Top Bottom