hapo Rongai kuna viazi unaweza leta dar
Kote nimewaza cjapata jibukote umekaa, pima na uone wapi utaweza kufanya kazi ya kibiashara ukafanikiwa
Umenikumbusha kuna jirani yangu alilete vitu aina hiyo ya kuharibika fuso ikaharibikia njiani mtaji wote ukakata,,,,
ngarambe .... biashara hauamki ukakurupuka ukapeleka mzigo pale ilala au kariakoo hivi hivi ..... nenda pale utapewa na madalali aina ya kiazi na bei ... muhakikishie dalaliutaleta mzigo halafu chukuacontacts zake.... rudi rombo ...go to the groundna angalia wakulima wanauzaje ..... piga mahesabu yako including transportation .... ukiona kunafaida mpigie simu mwambie nakujana gunia kadhaa .... atakusubiri .... ukifika tuu unakaapembeni all ex-works ni za kwake ... baada ya masaa matatu unakwendakuchukua pesa
fuso ikiharibika dalai anauwezo wa kuwasiliananawewe mkafaulisha mzigo kwenye fusonyingine ... yaani fuso inaharibika na wewe unasubiri ipone ... shhit ... huyo si mfanyabiashara
huyo jirani yako alitaka kufanya biashara kimimi mimi ndiyo maana ikalakwake
okay
dada yangu kama hayo maeneo yanaumeme jaribu na electronics zinalipa sanaNgarambe, It is my opinion the e money (mpesa, tigo pesa, airtelmoney & Zpesa) may be good business for you. if that is ideal DSM is suitable. So it's your turn to make a best choice among the advices given by JF members. Adios