Msaada: Mdogo wangu akila nyama anatokwa damu puani

Msaada: Mdogo wangu akila nyama anatokwa damu puani

Mtanzatozo

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
971
Reaction score
1,165
Habari za muda wandugu na poleni kwa majukumu ya kila siku, nikiwa kama ndugu rafiki au jamaa pengine yaweza kuwa msaada kwa ndugu yangu huyu.

Matatizo ya kutokwa na damu puani hutokea tu punde amalizapo kula nyama sana sana ya ng"ombe! Hospital amehudhuria mara kadhaa bila mafanikio dawa anazopewa hazina msaada kwake, mara ya mwish kutumia alimaliza na kukaa miezi kadhaa kujipima lakini alipokula tuu safari hii ikawa damu nyingi ilotoka puani! angalau nafuu yake anasema hadi akichoma kitu chenye kutoa moshi ndo anapata nafuu.

msaada kwa anayefahamu tatizo hili au ana historia nalo tu shee mawazo yaweza kuwa msaada!

Natanguliza shukrani zangu kwenu.🙏
 
Nyama imemkataa aache kula, hiyo ni allergy mimi nina mwanangu akila yai au akinywa maziwa anaamsha nyama za pua (alishafanyiwa upasuaji kuziondoa) ila akitumia nilivyovitaja hapo juu huwa anashindwa hata kupumua kwa pua.

Inasemwa ni tatizo la muda siyo la kudumu so mwambie dogo ajitenge kwanza kwa muda kutumia kisha ajaribu tena anaweza kutulia.
 
Nyama imemkataa aache kula,hiyo ni allergy mimi nina mwanangu akila yai au akinywa maziwa anaamsha nyama za pua (alishafanyiwa upasuaji kuziondoa) ila akitumia nilivyovitaja hapo juu huwa anashindwa hata kupumua kwa pua.

Inasemwa ni tatizo la muda siyo la kudumu so mwambie dogo ajitenge kwanza kwa muda kutumia kisha ajaribu tena anaweza kutulia.
shukrani ndugu kwa ushauri
 
Kuna maua flani mekundu anatakiwa ayachemshe na hiyo itabaki historia..atakula ng'ombe mzima, siyajui yanaitwaje ila ntajitahifi kuyatafuta niyaunge kwenye uzi huu. Niko na kaka zangu wa3 walikuwa na shida hiyo.

Sasa hivi mambo mazuri wanakula mishikaki vizuri tu, rost na ng'ombe vhoma kama kawaida... Dawa hii nilifundishwa burundi na hayo majani kule ni mengi na hata huku kwetu kuna baadhi ya watu wameyapanda makwao kama mapambo. Pole sana mkuu.

NB anayachemsha na nyama..
 
Kuna maua flani mekundu anatakiwa ayachemshe na hiyo itabaki historia..atakula ng'ombe mzima, siyajui yanaitwaje ila ntajitahifi kuyatafuta niyaunge kwenye uzi huu. Niko na kaka zangu wa3 walikuwa na shida hiyo.

Sasa hivi mambo mazuri wanakula mishikaki vizuri tu, rost na ng'ombe vhoma kama kawaida... Dawa hii nilifundishwa burundi na hayo majani kule ni mengi na hata huku kwetu kuna baadhi ya watu wameyapanda makwao kama mapambo. Pole sana mkuu.

NB anayachemsha na nyama..
bro ukiyakumbuka plz nijuze! tuyatafute! then kama ni business pia nijuze.. 🙏
 
Nyama imemkataa aache kula, hiyo ni allergy mimi nina mwanangu akila yai au akinywa maziwa anaamsha nyama za pua (alishafanyiwa upasuaji kuziondoa) ila akitumia nilivyovitaja hapo juu huwa anashindwa hata kupumua kwa pua.

Inasemwa ni tatizo la muda siyo la kudumu so mwambie dogo ajitenge kwanza kwa muda kutumia kisha ajaribu tena anaweza kutulia.
Ushauri mzuri Sana .HAKUNA namna ajitenge na nyama tu.
 
Habari za muda wandugu na poleni kwa majukumu ya kila siku, nikiwa kama ndugu rafiki au jamaa pengine yaweza kuwa msaada kwa ndugu yangu huyu.

Matatizo ya kutokwa na damu puani hutokea tu punde amalizapo kula nyama sana sana ya ng"ombe! Hospital amehudhuria mara kadhaa bila mafanikio dawa anazopewa hazina msaada kwake, mara ya mwish kutumia alimaliza na kukaa miezi kadhaa kujipima lakini alipokula tuu safari hii ikawa damu nyingi ilotoka puani! angalau nafuu yake anasema hadi akichoma kitu chenye kutoa moshi ndo anapata nafuu.

msaada kwa anayefahamu tatizo hili au ana historia nalo tu shee mawazo yaweza kuwa msaada!

Natanguliza shukrani zangu kwenu.[emoji120]
Itakuwa ana High Blood Count, ila si ugonjwa huu, hebu atumie hiyo nyama na malimao mengi then aone. Pia kuna dawa ya majani ya kuchemsha Wamasai wanayo inaondoa hilo tatizo chap
 
Itakuwa ana High Blood Count, ila si ugonjwa huu, hebu atumie hiyo nyama na malimao mengi then aone. Pia kuna dawa ya majani ya kuchemsha Wamasai wanayo inaondoa hilo tatizo chap
shukrani..
 
Back
Top Bottom