mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,791
Wadau,
Mimi binfsi nina tatizo ambalo naona limeanza wiki moja sasa.
Jino moja (Premolar)lilianza kulegea (linatingishika) lakini halina maumivu labda ulitingishe au nitumie upande huo kutafuna kitu kigumu.
Leo naona na jino lingine (Incisor)nalo linalegea. Lakini pia yote hayana maumivu. Na yote ni ya upande wa chini.
Wadau Naomba msaada nini tatizo.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mimi binfsi nina tatizo ambalo naona limeanza wiki moja sasa.
Jino moja (Premolar)lilianza kulegea (linatingishika) lakini halina maumivu labda ulitingishe au nitumie upande huo kutafuna kitu kigumu.
Leo naona na jino lingine (Incisor)nalo linalegea. Lakini pia yote hayana maumivu. Na yote ni ya upande wa chini.
Wadau Naomba msaada nini tatizo.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!