The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yang'oe yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu kwenu wanafamilia ya JamiiForums...
Natumaini mna uzima tele....kama hivyo ndivyo basi tabasamu kama ishara ya upendo na furaha yako.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni hitaji nililonalo juu ya tatizo linalonikabili.
TATIZO LENYEWE:
Meno yangu hayajaota katika mpangilio unaotakiwa (nje ya nafasi)
inapelekea baadhi ya matatizo kwangu
a:Nashindwa kutafuna vizuri
b;Usafishwaji mgumu wa meno
c;tabasamu lisilo na mvuto
d;matatizo ya kisaikolojia
e;Nashindwa kuzungumza vizuri
HITAJI;
JE! Ni wapi naweza kupata matibabu ya gharama nafuu(natoka katika familia duni)
njia gani nitumie ili kufanikisha matibabu
Pia CHOCHOTE UNACHOWEZA KUNISAIDIA ili kupata matibabu
Akhsanteni!
Ni ghali sana mkuu, imagine kupata jino moja tu la bandia lenye root and crown (bandia lakini likiwekwa halitoki na linakua kama jino OG) sio chini ya USD 2000.itanigharimu kama kiasi gani cha fedha ili nijipange
shukran!
shukrani sana mkuu!Meno yako yanatibika vizuri sana mkuu!! Unatakiwa kuwa na shilingi laki sita kuyanyoosha yote.
Meno ya juu ni laki tatu, na ya chini laki tatu. Lakini pia unaweza ukaamua kuyanyoosha meno ya juu peke yake ambapo ni shilingi laki tatu tu. Unawekewa mawaya fulani majino yote yanakaa mkao sawa sawa.
Ukitaka kuyapiga rangi yawe meupe pia nadhani ni shilingi laki mbili kwa meno yote pale muhimbili.
Nakutakia matibabu mema.
Weka picha tukusaidieshukrani sana mkuu!
tazama avatar yangu mkuuWeka picha tukusaidie
tazama avatar yangu mkuuWeka picha