longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Salamu kwenu wanafamilia ya JamiiForums...
Natumaini mna uzima tele....kama hivyo ndivyo basi tabasamu kama ishara ya upendo na furaha yako.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni hitaji nililonalo juu ya tatizo linalonikabili.
TATIZO LENYEWE:
Meno yangu hayajaota katika mpangilio unaotakiwa (nje ya nafasi)
inapelekea baadhi ya matatizo kwangu
a:Nashindwa kutafuna vizuri
b;Usafishwaji mgumu wa meno
c;tabasamu lisilo na mvuto
d;matatizo ya kisaikolojia
e;Nashindwa kuzungumza vizuri
HITAJI;
JE! Ni wapi naweza kupata matibabu ya gharama nafuu(natoka katika familia duni)
njia gani nitumie ili kufanikisha matibabu
Pia CHOCHOTE UNACHOWEZA KUNISAIDIA ili kupata matibabu
Akhsanteni!
Natumaini mna uzima tele....kama hivyo ndivyo basi tabasamu kama ishara ya upendo na furaha yako.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni hitaji nililonalo juu ya tatizo linalonikabili.
TATIZO LENYEWE:
Meno yangu hayajaota katika mpangilio unaotakiwa (nje ya nafasi)
inapelekea baadhi ya matatizo kwangu
a:Nashindwa kutafuna vizuri
b;Usafishwaji mgumu wa meno
c;tabasamu lisilo na mvuto
d;matatizo ya kisaikolojia
e;Nashindwa kuzungumza vizuri
HITAJI;
JE! Ni wapi naweza kupata matibabu ya gharama nafuu(natoka katika familia duni)
njia gani nitumie ili kufanikisha matibabu
Pia CHOCHOTE UNACHOWEZA KUNISAIDIA ili kupata matibabu
Akhsanteni!