Pana jamaa yangu katumiwa meseji , hajajua hao majambazi walipo, wanamwamuru kuwapa pesa kwa simu ya voda, afanyeje ili ajue walipo hao majambazi , kama pana mtu anaweza saidia kujua hili tafadhali, au ushauri wowote wa kuyatambua/ kuyakamata hayo majambazi,