mapipando JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 2,922 Reaction score 3,559 Sep 12, 2017 #1 Habari wakuu, Naomba kufahamu, je mfanyakazi kukatiwa bima ya afya ni lazima ama ni hiari ya mwajiri? Hatuna bima ya afya kazini kwetu hivyo napenda kujua ili nijue cha kufanya. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.
Habari wakuu, Naomba kufahamu, je mfanyakazi kukatiwa bima ya afya ni lazima ama ni hiari ya mwajiri? Hatuna bima ya afya kazini kwetu hivyo napenda kujua ili nijue cha kufanya. Natanguliza shukrani kwenu wakuu.
GoPPiii. JF-Expert Member Joined Oct 6, 2014 Posts 1,792 Reaction score 3,075 Sep 13, 2017 #3 Baadhi ya sehemu na makampuni ni lazima nadhani. Philips X2560
mapipando JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 2,922 Reaction score 3,559 Sep 14, 2017 Thread starter #4 mubindi said: Ni hiari Click to expand... Dah,yaan mafao ndio lazima halafu bima ya afya ni hiari?