Msaada: Mgongo unaniuma sanaa

Kuumwa kichwa na Mgongo ni dalili za Meningitis wahi nenda kapime.
 
Ukipata tatizo la maumivu ya mgongo, tambua kwamba uponaji wake huchukua muda mrefu ama unaweza usipone kabisa.
Nenda ukawaone wataaalamu wa mifupa mazee...
 
dicloday gel tafuta hiyo dawa inaweza kukusaidia huku unafanya mipango ya kumwona dr
 
Ukipata tatizo la maumivu ya mgongo, tambua kwamba uponaji wake huchukua muda mrefu ama unaweza usipone kabisa.
Nenda ukawaone wataaalamu wa mifupa mazee...
Asante san
 
Acha kupoteza muda nenda hospitali kwa wataalamu wa mifupa na viungo vya fahamu.wao watakufanyia vipimo na kukushauri matibabu ya kufanya.Hizo Gel wanazokutajia watangulizi wa hapa JF zinasaidia tu kutuliza maumivu lakini tiba hasa watakushauri madaktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…