Pole sana ndugu yangu. Mungu na Amsaidie mgonjwa apone...Naombeni msaada nina ndugu yangu anaumwa cancer ya tumbo ila ameshafanyiwa operation na tumelipa garama kubwa sana ila sasa ivi inatakiwa apate dawa kila baada ya wiki tatu ila garama za dawa kwa dozi ni tshs 1, 832, 000/= kusema kweli hela hatuna tumeshindwa hata kumkatia bima naomba kwa yeyote mwenye uwezo au anaefahamu mashirika ya msaada yanayoweza kutusaidia atusaidie. maana mgonjwa hali yake mbaya. Natanguliza shukrani.
Asante kwa ushauriPole sana ndugu yangu. Mungu na Amsaidie mgonjwa apone...
Kansa ipo steji gani? Prognosis ya madaktari ikoje? Wanasema anaweza kupona? Kama wanasema kuna nafasi ya kupona basi endeleni kupambana bila kuchoka.
Ni gumu kwetu Waafrika lakini nawapenda sana wazungu katika hili. Wao wakiona mgonjwa hana nafasi ya kupona basi wanashifti mode na kumakinikia zaidi comfort yake ili afe kwa amani bila maumivu na kuacha madeni makubwa. Kwetu hii ni dhana ngeni sana na tutapambana mpaka kufilisika tukijaribu kumtibia mgonjwa hata kama madaktari wameshasema kuwa canser haitibiki tena na imeshaenea mwili mzima.
Samahani kama nimekukwaza ndugu yangu. Mama yangu mzazi alifariki na kansa ya mfuko wa uzazi mwaka jana December na madaktari waliposema kuwa kansa ile ilikuwa haitibiki tena tuliamua kuhakikisha kuwa anatuacha kwa amani na bila mateso mengi. Mungu Awape nguvu na binafsi sijui kama kuna mashirika hapa Tanzania yanayotoa huduma ya kulipia tiba za wagonjwa....Kufa ni lazima tufe.
pole sana mungu atasaidia utapata mwongo humu uskate tamaaNaombeni msaada,
Nina ndugu yangu anaumwa cancer ya tumbo ila ameshafanyiwa operation na tumelipa gharama kubwa sana ila sasa hivi inatakiwa apate dawa kila baada ya wiki tatu ila gharama za dawa kwa dozi ni tshs 1, 832, 000/=
Kusema kweli hela hatuna tumeshindwa hata kumkatia bima, naomba kwa yeyote mwenye uwezo au anaefahamu mashirika ya msaada yanayoweza kutusaidia atusaidie maana mgonjwa hali yake mbaya.
Natanguliza shukrani.
Nipe mimi hizo pesa nikupatie dawa zangu atumie kwa muda wa siku 90 atapona hayo maradhi ya Kensa ya Tumbo. Achana na hivyo vidonge. Hawezi kupona kwa hivyo vidonge hata kama atatumia hivyo vidonge kw amuda mwaka mmoja sio rahis kupona hiyo kensa ya tumbo.Nitafute kwa wakati wako nipate kumtibia ndugu yako apate kupona.Naombeni msaada,
Nina ndugu yangu anaumwa cancer ya tumbo ila ameshafanyiwa operation na tumelipa gharama kubwa sana ila sasa hivi inatakiwa apate dawa kila baada ya wiki tatu ila gharama za dawa kwa dozi ni tshs 1, 832, 000/=
Kusema kweli hela hatuna tumeshindwa hata kumkatia bima, naomba kwa yeyote mwenye uwezo au anaefahamu mashirika ya msaada yanayoweza kutusaidia atusaidie maana mgonjwa hali yake mbaya.
Natanguliza shukrani.