Msaada, mguu unauma sana

Msaada, mguu unauma sana

Baba JJ

Senior Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
194
Reaction score
98
Nilikuwa nafanya azoezi gym, badae nikasimama kwa muda kama miezi miwili kwa sababu ya ufinyu wa muda, tokea nisimame kufanya mazoezi ninapata maumivu masala sana ya mguu tangia mwezi wa 11, nikatumia dawa za maumivu kwa muda bila mafanikio, ikabidi niende kupiga x ray wakanambia mifupa haina shida yoyote. Lakini maumivu hayaishi kabisa. Dawa nilizotumia ni tramadol, v2 plus na Muvela. Naomba msaada zaidi ili niweze kupona
 
Back
Top Bottom