Msaada: Mguu wangu umeteguka

Mlundilwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
3,187
Reaction score
4,857
Wanajamii Forum habari
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.

Msaada wenu ndgu zangu
 
Hapa nilipo sijatembea na hela mkuu ndiyo maana nimeomba kama kuna huduma yakwanza yoyote ili inisaidie
 
Wanajamii Forum habari
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.

Msaada wenu ndgu zangu
Wahi kuupitishia barafu au umwagie maji ya baridi sana kama hauna barafu.

Huduma ya kwanza, siyo tiba.
 
Wanaume wa kweli huwa tunaupiga na jiwe kubwa linaitwa kiboko ya Faiza , unanyoka mara moja
 
Wanajamii Forum habari
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.

Msaada wenu ndgu zangu
pole, ungekua huko kwa kijiji yetu ngekupeleka kwa zee la kufunga miteguko na mivunjiko yaa aina zote,
na siku izi serikali wamempatia kabisa na daktari wa hospitali kama msaidizi maana zee lenyewe halina shule ni darasa la saba, kabsaa...

Tiba yake sasa, kama umeteguka au kuvunjika akipapasa na kubaini penye hitilafu, dactari akuchoma ganzi zee lenyewe linafanya kama kuchomoa au kutenganisha palipovunjika kisha anarudishia kama anaplag chaji ya cm kwenye umeme kisha anafunga kwa nguvu sana,

within 3days unatembea vizuri kabisa

kwa hapo town nenda tu hospital vinginevyo utapata tabu sana....
 
Sawa mkuu na ahsante kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…