Msaada Miche ya vitunguu inakauka

Msaada Miche ya vitunguu inakauka

dfreym

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2010
Posts
342
Reaction score
87
Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu.

Msaada please.
 
hebu jaribu kuwasiliana na geba2013, ni mwana JF anapatikana kwa 0752317974. hii namba aliwahi kuirusha humu hewani mwenyewe. pole sana.
 
hebu jaribu kuwasiliana na geba2013, ni mwana jf anapatikana kwa 0752317974. Hii namba aliwahi kuirusha humu hewani mwenyewe. Pole sana.

nimemwelekeza chamana arudishe majibu km amefanikisha kuzuia tatizo
 
Solved wakuu. Asanteni kwa Msaada
 
Back
Top Bottom