Msaada minyoo

Mkubwa ndevu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
1,045
Reaction score
358
Me naumwa minyoo ambayo huwa nahisi kama wadudu wanatembea ndani ya mwili nilienda kupima nikakutwa nayo bt nimetumia dawa mbalimbali huwa nahisi unafuu kisha inarudi after 2 weeks nimetumia zentel na baadhi bt hali ndio hiyo hiyo msaada please nitumie dawa gani ?
 
Hebu angalia na vyakula unavyokula.
Huenda unakula vyakula vilivyopoa na viporo.
 
Ulukutwa na minyoo ya aina gani?
Kuna mingine huenda unajiokotea kila siku kutoka kwa mbwa, kikubwa effective use of latrines control the spread of most worms.
 
Ckumbuki vizuri bt inaitwa anancios km cjaikosea kuiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…