The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Jazia nyama uzi wako gari gani au engine gani ili iwe rahisi kupewa ushauri hakunaga ugonjwa mpya kwenye gari..kabla hata gari haijaharibika wazungu wanapotengeneza tuu huwa wanamaliza kila kitu huwa wanatoa na magonjwa yake dalili na solution zake.. sema sisi ni wavivu sanaNimenunua spark plugs mpya lakini bado gari ina- miss tu. Naomba wale watalam wanisadie sababu zingine za misfiring .
Jazia nyama uzi wako gari gani au engine gani ili iwe rahisi kupewa ushauri hakunaga ugonjwa mpya kwenye gari..kabla hata gari haijaharibika wazungu wanapotengeneza tuu huwa wanamaliza kila kitu huwa wanatoa na magonjwa yake dalili na solution zake.. sema sisi ni wavivu sana
Humu pia kuna watalaamu wengi sana.Mkuu nenda garage Tu hapa tutakupa majibu ya kubahatisha
Hebu toa elimu ya kutosha fuse gani hizo?angalia Fuse mkuu