Wapendwa wana JF wenzangu habari zenu? ningependa kwenda moja kwa moja kwenye hitaji naomba mnisaidie mawazo nini nifanye kuhusiana na hali anayopitia Mke wangu ana mimba ya miezi minne anasumbumiwa sana na gesi, kiasi cha tumbo kumkaza sana kila anachokula kinamletea gesi.
Pia anasumbuliwa na tatizo la kukosa choo yaani akibahatika ni kidogo mnoo ndo sababu pia ya tumbo kumkaza(kumuuma).
NB: Nilimpeleka hospital akaandikiwa dawa ya Kupunguza gesi Relcer Gel hata alipoanza Clinic aliandikiwa hiyo hiyo dawa. Inamsaidia kwa muda mfupi mnoo.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Naamini nitapata msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia anasumbuliwa na tatizo la kukosa choo yaani akibahatika ni kidogo mnoo ndo sababu pia ya tumbo kumkaza(kumuuma).
NB: Nilimpeleka hospital akaandikiwa dawa ya Kupunguza gesi Relcer Gel hata alipoanza Clinic aliandikiwa hiyo hiyo dawa. Inamsaidia kwa muda mfupi mnoo.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Naamini nitapata msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app