Msaada : Mjamzito kutoa Uchafu

kitumbotala

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
516
Reaction score
623
Wakuu habari zenu wataalam wa haya mambo,ninahoja inayonichanganya kidogo kwa mtu mwenye mimba kutokwa na uchafu kama dalili ya Bleed hii imekaaje na nn kings yake? Uchafu unatoka sio kwa kiwango kikubwa...
 
Aende hsptl labda mimba imeharibika
 
Mjamzito kutokwa na damu, uchafu, maji maji hasa yenye harufu, miguu kuvimba kwa chini, tumbo kuuma sana hasa baada ya wiki ya 10, maumivu ya tumbo hasa upande wa kulia si dalili nzuri. Awahi hosp na hasa umuone Daktari wa akina mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…