Msaada; Mjasiriamali aliyefanikiwa kupata mkopo PPF!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3 ya kiasi ulichoweka!

Je kuna yeyote mwenye uzoefu na hili au ni mbinu tu ya kuvuta visenti vyetu?

Natanguliza shukrani!
 
PPF ni wababaishaji hasa swala la kukopesha wanachama kupitia Saccos zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…