Msaada: Mjazito kuanguka uwani kuna shidada yoyote?

macho89

Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
98
Reaction score
17
Habari wakuu,

Rafiki yangu ni mjazito na siku ya Leo kaniambia alipokuwa anaingia kuoga asubuhi kaanguka kwa bahati mbaya bafuni ila hajaumia.

Je kuna tatizo ama shida yoyote?

Usiku mwema.
 
Hakuna mtu aliyeanguka chooni/bafuni akapona..
Kuna mashetani wabaya sana huku..
Hapo mtegemee kumpoteza mama au mtoto..

Mungu aliingilie swala hili.. Time will tell..
 
Habari wakuu.
Rafiki angu ni mjazito na siku ya Leo kaniambia alipokuwa anaemia Kuoga Asubuhi kaanguka Kwa bahati mbaya bafuni ila hajaumia.
Je kuna tatizo am a shida yoyote?

Usiku mwema.
Kama hajaumia basi hakuna shida yoyote asiwe na wasi wasi, ila awe makini na hiyo hali yake asije akaumia.
 
Aende hoapitali akafanyiwe uangalizi mtoto aangaliwe usalama wake...vitu kama kuanguka ni vidogo sana lakini madhara yake baadaye ni makubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…