Msaada:mkataba wa ajira ndogondogo

kanene

Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
55
Reaction score
6
Habari zenu wandugu..mimi nimefungua kashughuli ka duka la reja reja. kwa kua nimekua ni mtu wa kutoka mara kwa mara nataka niajiri mtu kwa mkataba mdogo ili walau niweke mazingira ya ulinzi wa haka kaduka. Mwenye kuelewa naomba anisaidie japo hata kwa mfano mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…