MSAADA: MKATABA WA KISHERIA (House girl & House/ Shamba boy).

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
571
Reaction score
156
Nahitaji mtaalamu (HR personnel) wa kuweza kuniandalia Mikataba ya wafanyakazi wa ndani (House girl na House boy/ Shamba boy). Mikataba ya miezi 3 au 6 (renewable based on operational requirements and/ performance).
Sambamba na mikataba hiyo nitahitaji JDs na KPIs (japokuwa KPIs naweza kuziandaa kwa kushirikiana na wahusika).
Nataka wawe wanawajibika na wawe answerable/ accountable kwa utendaji wao.
Siyo house girl/ boy anakuwa yupo yupo tu hana ratiba au JD inakuwa inapangwa on daily basis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…