Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

pumbavu kabisa, unaenda mpaka kulala kwa mwanaume mwenzio, amekuachia sasa si umesema mnapendana sana, endelea mlipoishia na kadi ya benki si unayo endelea
 
Wakati mnadinyana hukulikumbuka Hilo? Usikimbie kaeni chini myajenge huenda huyo akawa mke bora sana kwako.
 
Pole sana wangekunyonyoa mchana kweupe pee, ila usimwache mazima, si ajabu baba Jay alikuwa busy na mambo yake na mkewe akawa anakaukiwa na kiu.
 
Daa polee sana kaka MUNGU akutie nguvu uyavukee haya na piaa kwanzia sasa usiache kumshirikisha katika maamuz Yako yoyote yatakua na hekima na busara piaa bila ya kukurupukaa🙏
 
Hiyoo pia mm iliwahi nikuta mwaka 2015 lakini nilienda nyumbana tanga nikamroga jamaaaa yakaishaa kabisa jamaaa alikuwa mtu mkubwa ana fedhaa
 
Mpokee tu, si uliyataka mwenyewe?
 

duh! Nimechoka na maisha ya utumwa. (better die free than living as a slave)

Endelea 👇 👇

Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia Kwanguuuu​
 
Ndio maana mnageuzwa hovyo mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…