Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Umesababisha awe single maza,halafu unasema hutaki single maza. Maajabu haya.
 
Tupe kisa kizima
Mkuu mm nilipanga nyumba kwa huyoo mshua ilikuwa mamboo yangu yako sawa mzee alioa binti wa miaka kama 26 ivi sasa huyoo ndio akawa mama mwenye nyumba sasa akawa yeye ndio mfutiliajiii wa kodi kila kitu basi akachukwa namba broo sifa ya kuwavutiaa wanawake usijidaii wew mjanja sana mm nilikuwa mpole wa kujifanyisha basi bibi dada akaleta zake kunitaka mm nikapita nae kama mwaka ivii hapoo ametoa mimba zangu kama 4 sasa mzee akaja juaaa akapanga fumaniziii wewe usiku huooo ulikuwa msala nilikimbia na boxer mpaka kwa jamaaa angu nikamwambia yaya ndio afuate vitu niliacha kodi ya miezi mitatu umalaya huui aseee sitokaaa nisahau jamaaaa akasema atanichinja daaaa ikabidi nikimbie tanga niwangukiee wazee wakafanya mamboo jamaaa akawa kama bwege mm nikawa nakutana nae hana shida mpaka sasa nimehamia zangu kenya ilikwa msala aseee
 
Duuh
 
Unafaa kukatwa kichwa we mshenxi nikikukamata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…