Wakuu najuta tena najuta mie kununua gari ni sawa na kuoa mke wa pili,
Kwa kifupi hili gari ni sawa na mke wa pili kwani linanipelekesha na kutaka kunitoa roho kabisa, lina gharama kama mke wa pili, linataka mafuta, service, matengenezo, huku nyuma wife nae anataka huduma zake pembeni , kuna dogo nae anataka matunzo yake.
Jamani mbona nita dead my jamani? may i RIP?
Kwa kifupi hili gari ni sawa na mke wa pili kwani linanipelekesha na kutaka kunitoa roho kabisa, lina gharama kama mke wa pili, linataka mafuta, service, matengenezo, huku nyuma wife nae anataka huduma zake pembeni , kuna dogo nae anataka matunzo yake.
Jamani mbona nita dead my jamani? may i RIP?