Msaada: Mke wangu ametoka likizo ya uzazi, na amerudi kazini lakini boss wake anamlazimisha kufanya kazi full time

Mabele_

New Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1
Reaction score
2
Habari wadau?

Kwa wabobezi wa sheria especially maeneo ya kazi. Mke wangu ametoka likizo ya uzazi, na amerudi kazini, lakini boss wake anamforce kufanya kazi full time na muda mwingine anatoka saa 5 usiku.

Hili limekaaje?
 
Anafanya kazi WAP? Sector binafsi au serekalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…