M Mabele_ New Member Joined May 31, 2020 Posts 1 Reaction score 2 Jun 11, 2021 #1 Habari wadau? Kwa wabobezi wa sheria especially maeneo ya kazi. Mke wangu ametoka likizo ya uzazi, na amerudi kazini, lakini boss wake anamforce kufanya kazi full time na muda mwingine anatoka saa 5 usiku. Hili limekaaje?
Habari wadau? Kwa wabobezi wa sheria especially maeneo ya kazi. Mke wangu ametoka likizo ya uzazi, na amerudi kazini, lakini boss wake anamforce kufanya kazi full time na muda mwingine anatoka saa 5 usiku. Hili limekaaje?
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,721 Jun 11, 2021 #2 Afike CMA akatoe malalamiko.
C CHOKAMBOVU JF-Expert Member Joined Dec 3, 2011 Posts 836 Reaction score 563 Jun 18, 2021 #3 NI KUTOKUFAHAMU HAKI ZAKE KAMA INAVYOTAKIWA KWA MUJIBU WA SHERI. HIYO HAPO ITAKUSAIDIA Attachments Likizo ya Uzazi.pdf Likizo ya Uzazi.pdf 5 KB · Views: 16
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 19, 2021 #4 Siyo sawa kabisa...
Kv-london JF-Expert Member Joined Jan 24, 2014 Posts 2,877 Reaction score 5,022 Jun 22, 2021 #5 Anafanya kazi WAP? Sector binafsi au serekalini