litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Nimechoka saaana, mke wangu, mama watoto wamgu, kipenzi changu, anataka kuniua
Leo asubuhi amenipikia mtori na maziwa, nyama kilo moja, akanitengea yote kwenye poti moja kubwa, nikala kwa mbinde nikamaliza
Mchana huu amepika nyama nusu kilo amenikaangiana viazi ulaya, nimekula kwa mbinde nikamaliza
Nimekaa for two hrs analeta jagila juice, kwa mbinde nikamaliza
yN
Nyama zote zilikua nammafuta mengi mno, na anajua hali yangu, mimi ni mnene mno.
Hapa nimelala chali naemea juujuu tu...jioni amepanga anipe chips yai na kidari
Jamani ananiua huyuuu
Leo asubuhi amenipikia mtori na maziwa, nyama kilo moja, akanitengea yote kwenye poti moja kubwa, nikala kwa mbinde nikamaliza
Mchana huu amepika nyama nusu kilo amenikaangiana viazi ulaya, nimekula kwa mbinde nikamaliza
Nimekaa for two hrs analeta jagila juice, kwa mbinde nikamaliza
yN
Nyama zote zilikua nammafuta mengi mno, na anajua hali yangu, mimi ni mnene mno.
Hapa nimelala chali naemea juujuu tu...jioni amepanga anipe chips yai na kidari
Jamani ananiua huyuuu