leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Nilimuoa hivyo hivyo flat ila nimebadili gia angani na sitaki kumuachaZilikuwepo kabla hujamuoa au uligundua hiyo ndio nguvu ya kike baada ya kumuoa? Ingekuwa kweli ningekwambia uset mind yako uachane na uhuni ufikirie maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endesha bito kwa hisia za v8 pradoNilimuoa hivyo hivyo flat ila nimebadili gia angani na sitaki kumuacha
Nakushauri kwanza kabisa akafanye whole body checkup pamoja na psychology na psychiatric check up.Wa ndoa nipe ushauri maana wewe kati ya watu nawaheshimu sana hap jf
Duh Ruge tu ameshindwa mi mlala hoi kweli ntaweza, ila asante kwa ushauriNakushauri kwanza kabisa akafanye whole body checkup pamoja na psychology na psychiatric check up.
Kama upo Tanzania nashauri uende India kufanya hizo checkup.
Utapata jibu tu.
Dada FF huyu mleta mada si kadai mkewe ni flat screen, kwa maana hana makalio makubwa? Sasa hizi check up zinasaidiajeNakushauri kwanza kabisa akafanye whole body checkup pamoja na psychology na psychiatric check up.
Kama upo Tanzania nashauri uende India kufanya hizo checkup.
Utapata jibu tu.
Sema unataka kumuona mkeo akiwa na mitako Sema mnenepeshe utakuja kusema mkeo anakudharauWe huoni wanawake wanakimbilia kuongeza huko ndio kwenye nguvu zao
India wanatibu yote hayo.Dada FF huyu mleta mada si kadai mkewe ni flat screen, kwa maana hana makalio makubwa? Sasa hizi check up zinasaidiaje
Soma mada yake vizuri. Ni punguwani wa hedi tu huyu kaamua kutukejeli tulopigwa Pasi nyuma. Kwako mtoa mada: kama una kibamia usijifeel inferior complex, jifunze namna ya kukitumia vizuri na jua Mungu hakukosea kukuumba hivyo, shenzi weeIndia wanatibu yote hayo.
Mie nimechukulia ana uhanithi wa kike, maana kasema ana upugufu wa nguvu za kike.
πππKumbe ukiwa na flat screen ,ndyo huna nguvu za kike duuh, haya ukiipata hiyo dawa nitag na Mimi mkuu, nahitaji hizo nguvu [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
desgn una wivu..acha roho mby ww jamnπ πMkuu unafikiri yakishakuwa makubwa utakuwa unayaona peke ako
Ni mkeo wa ndoa au mke wa mazowea tu?
Nani alikudanganya kuwa nguvu za kiume ni ukubwa wa dushelele? Nguvu za kiume ni uwezo wako wa kunipagawisha bila kuchoka haraka(umechomeka tu dk tano unamwaga halafu kurudia huwezi mfyuuuh) na uwezo wa kumpa mimba binti.