Jaribu na wewe kufanya sperm analysis, usimlaumu mkeo, lakini pia mpeleke naye kwa gynacologist ingawa miez sita si mingi ya kukupa presha.Nawasalimu kwa upendo mtakatifu
Jamani wapendwa nina tatizo kwenye ndoa yangu takribani miezi sita sasa tangu kufunga ndoa mke wangu hajabahatika kushika mimba nimejaribu kufanya tendo la NDOA kwa nyakati halisi ila hatujafanikiwa pia mke wangu mzunguko wa siku haunana idadi ya siku maalumu Maana ziko aina tatu ambazo ni siku 26,27,28 haya ni mabadiliko ya kila mwezi, Je inaweza changia tatizo la kushika mimba ama nifanye tendo la NDOA kwa siku ipi kwa mizunguko hiyo naomba msaada asanteni
Nawasalimu kwa upendo mtakatifu
Jamani wapendwa nina tatizo kwenye ndoa yangu takribani miezi sita sasa tangu kufunga ndoa mke wangu hajabahatika kushika mimba nimejaribu kufanya tendo la NDOA kwa nyakati halisi ila hatujafanikiwa pia mke wangu mzunguko wa siku haunana idadi ya siku maalumu Maana ziko aina tatu ambazo ni siku 26,27,28 haya ni mabadiliko ya kila mwezi, Je inaweza changia tatizo la kushika mimba ama nifanye tendo la NDOA kwa siku ipi kwa mizunguko hiyo naomba msaada asanteni
Mungu ni Mwema tumefanikiwa kupata wa kiume ndgMmefanikiwa mpendwa?? Subira huvuta heri pia.