Vip unafanana naee..????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji849]
Miezi 6 mbona mapema?
Next time nunueni ovulation kit mpime kuona anaingia lini.
Lakini je mlishaenda na mwenza wako kupima? Wote wawili mnatakiwa mchekiwe
Nikifanikiwa kwa asilimia kubwa, ilikuwa ni matatizo ya tumbo la uzazi kwa mwanamkeMmefanikiwa mpendwa?? Subira huvuta heri pia.
SanaVip unafanana naee..????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi6 tu?! Mapema mnooooHilo sio tatizo ni changamoto kwako inayokusukuma kuvumilia na kuzidi kumwomba Mungu upate haja ya moyo wako.
Isitoshe ni mapema sana kulament kuhusu mkeo kutoshika ujauzito.Pia ndoa umeingia si kwa nia ya kupata mtoto tu,naamini yapo mengi ishi vyema na mwenzio mambo yatakua bam bam
Dah! Umenikumbusha kisa kimoja cha wanandoa.Jaribu na wewe kufanya sperm analysis, usimlaumu mkeo, lakini pia mpeleke naye kwa gynacologist ingawa miez sita si mingi ya kukupa presha.