MSAADA; Mkojo wanjano sana ..

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,212
Ndugu zangu ma Doctors, nilienda kupima mkojo nikaambiwa mkojo wangu hauna tatizo, ila nakojoa mkojo wa njano sana, nakunywa maji lakini still mkojo niwanjano sana, then nakojoa kila baada ya mda mfupi, tatizo linaweza kuwa nini? labda mnisaidie nikapime vipimo gani?
 
Jaribu pia kufanya Abdominal Pelvic ultrasound. waweza kuwa na tatizo kwenye pancrease. macho pia ya njano?
nidhani hunywi maji ya kutosha. kisukari je, umepima?
 
Jaribu pia kufanya Abdominal Pelvic ultrasound. waweza kuwa na tatizo kwenye pancrease. macho pia ya njano?
nidhani hunywi maji ya kutosha. kisukari je, umepima?

kaka kati ya vitu naogopa duniani baada ya shetani kinafata kisukari, sijacheki bado... yani mpaka nakosa raha...
 
huko kukojoa mara kwa mara yawezekana ndio chenyewe. usiogope. kwani kuna history ya tatizo hilo kiikoo? are u overweight?
yawezekana ni Diabetes insipidus ya kikojoakojoa, sio ile mellitus iliyozoeleka.
All in all, nenda hosp.
 
kaka kati ya vitu naogopa duniani baada ya shetani kinafata kisukari, sijacheki bado... yani mpaka nakosa raha...

Pole sana kwa kuogopa kisukari! Mm nina miaka miwili naishi nikiwa na kisukari na dalili zake ni mwili kuchoka, kukojoa mara kwa mara pamoja na kiu. Kapime mapema.
 
Pole sana ila kapime kwa hata mimi naliogopa hilo ila inapobidi huna budi
 
Kunywa maji ya kutosha,pia fanya vipimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…