Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,212
Nina ka mkweche kangu Toyota Premio 2006 gafla Mlango wa nyuma upande wa kushoto haufunguki kwa ndani na kioo hakipandi wala kushuka, nini tatizo? nini chakufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba unielekeze jalala ulilowahi kutupa gari nikaokoteCR wa SUA niliyewahi kuishi Ethiopia kama diaspora hiyo gari ningeitupa jalalani.
CR wa SUA diaspora wa ethiopia sijawahi kumiliki gari mkweche. Nina Subaru la ukweli si mtu wa mchezo mchezo mimi.Mkuu naomba unielekeze jalala ulilowahi kutupa gari nikaokote
Aaah CR wa SUA kwani unalo moja tu? Hilo huna mpango wa kutupa?CR wa SUA diaspora wa ethiopia sijawahi kumiliki gari mkweche. Nina Subaru la ukweli si mtu wa mchezo mchezo mimi.
Likikwecheka (likiwa mkweche) nalitupa sinaga mchezo me ndo CR wa SUA buana diaspora wa Ethiopia.Aaah CR wa SUA kwani unalo moja tu? Hilo huna mpango wa kutupa?
Mi nikajua una hata mawili. Basi bwana endelea kukusanya test na kuwasilisha coursework kwa classmates wako.Likikwecheka (likiwa mkweche) nalitupa sinaga mchezo me ndo CR wa SUA buana diaspora wa Ethiopia.
Ni CR mstaafu mkuu. Enzi hizo waliniheshimu kichizi.Mi nikajua una hata mawili. Basi bwana endelea kukusanya test na kuwasilisha coursework kwa classmates wako.
Ni miaka ganii mkuu? Isijekuwa ulikuwa bosi wangu!Ni CR mstaafu mkuu. Enzi hizo waliniheshimu kichizi.
Kitambo sana. Nimetoka pale 2011.Ni miaka ganii mkuu? Isijekuwa ulikuwa bosi wangu!
Poa, mie nilitoka enzi za 1990s.Kitambo sana. Nimetoka pale 2011.
Cr wasua acha kuibia wanafunzi wenzakoCR wa SUA niliyewahi kuishi Ethiopia kama diaspora hiyo gari ningeitupa jalalani.
Nimemuibia nani mkuu...me ndo CR wa SUA diaspora wa Ethiopia mjini Tgray sina makuu na mtu.Cr wasua acha kuibia wanafunzi wenzako