Msaada:Mnieleweshe kuhusu "Minimum Admission Points" Zilizowekwa na Chuo.

Msaada:Mnieleweshe kuhusu "Minimum Admission Points" Zilizowekwa na Chuo.

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
2,133
Reaction score
661
Kuna baadhi ya watu wameniambia,zile minimum admission points ambazo kila chuo imejiwekea,hazizingatiwi sana na vyuo husika ikiwa vyuo hivyo havijapata watu wa kutosha kwenye kila programme.Je,kuna ukweli wowote hapa? Kwa mfano:kama chuo kinahitaji watu 100 kwenye program ya Bs in Education with Science,na minimum point ni 4.5,je,mimi nikiwa na minimum ya 2.5 ntachukuliwa ikiwa watu 90 tu ndio walioomba?? Natanguliza shukrani.
 
Uwezekano huo upo,c unajua bongo hakuna lisilowezekana.
 
who knows? i think that is what probability mean
 
Kuna baadhi ya watu wameniambia,zile minimum admission points ambazo kila chuo imejiwekea,hazizingatiwi sana na vyuo husika ikiwa vyuo hivyo havijapata watu wa kutosha kwenye kila programme.Je,kuna ukweli wowote hapa? Kwa mfano:kama chuo kinahitaji watu 100 kwenye program ya Bs in Education with Science,na minimum point ni 4.5,je,mimi nikiwa na minimum ya 2.5 ntachukuliwa ikiwa watu 90 tu ndio walioomba?? Natanguliza shukrani.

inawezekana kabisa kuna vitu vingi vinazingatiwa kwenye udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu kumbuka hichi ktabu cha muongozo kimeandaliwa kabla ya matokeo ya kidato cha sita kwa hivyo basi kama kiwango cha ufaulu kitakuwa kidogo tofauti na muongozo wenyewe ni wazi itabidi washuke ili waweze kukidhi mahitaji ya kozi husika ili kufikia ile idai wanayo hitaji .. kuna kipindi tulizoea kwamba kuna kozi bila division one hupati ila mimi mwenyewe nimeshuhudia watu wakiingia kwa viwango vya chini ya div one ..
 
Senetor "Wi-Fi"@"Maganga Mkweli" nashukuruni sana. Ila,vipi kuhusu matokeo ya mwaka huu,ufaulu umepanda au kushuka?
 
Last edited by a moderator:
kua makini wakati wa kuomba jitahdi sana kuweka kipaumbele kwa vile vyo ambavyo wanahitaji hzo point.kuna wenzako mwakajana waliambulia 2nd applicant na mkopo wakanyimwa.so wakati wa kujaza anza na vyuo vinavyoikubali hyo 2,5
 
kua makini wakati wa kuomba jitahdi sana kuweka kipaumbele kwa vile vyo ambavyo wanahitaji hzo point.kuna wenzako mwakajana waliambulia 2nd applicant na mkopo wakanyimwa.so wakati wa kujaza anza na vyuo vinavyoikubali hyo 2,5

Poa,nashukuru.
 
Na mm jaman coz nina points 2 lkn kuna course ya building economics ya chuo cha Ardhi na yenyewe inahitaji points 2 lkn inahitaji niwe na japo S ya Math's lkn nimeikosa bt o-level nna credit ya physics na Math's
 
Na mm jaman coz nina points 2 lkn kuna course ya building economics ya chuo cha Ardhi na yenyewe inahitaji points 2 lkn inahitaji niwe na japo S ya Math's lkn nimeikosa bt o-level nna credit ya physics na Math's

umehairisha kukata rufaa au?
 
Kwa nilivyo waelewa hawa waheshimiwa,unaweza kupata! Ila usichague vyote vilivyozd min.Yako.
 
Vijana chuo hakuna ramani tena,tafuta pesa fanya biashara.Kama unabisha piga mahesabu udom,na mavyuo mengine watakuwa wametemwa kiasi gani.Jumlisha na sisi tuliopo kitaa
 
Wingu,ni bora uende na uongeza na hyo elimu alafu ukija kitaa ndo ujiajiri mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
mkubwa vyuo vya leo bongo ni vingi bt abt sheria wapo makini sana hayo mambo yawanachukua sijui nini ilikuwa zamani wewe angalia kama unakizi vigezo omba kama huna tulia utapata usajili TCU ukifika chuo husika wanakukataa so power to you
 
Back
Top Bottom