Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Nimeaanzisha uhusiano na msichana last week, na tumesha yajenga maramoja, and nimemfurahia at 360degree, ila tu kuna kasoro moja ananuka K tatizo ambalo naamini sio kubwa na linatibika.
Ninachowaomba mnisaidie ni dawa gani nimnunulie ili iondoe hili tatizo alilonalo, bado halijawa kubwa maana harufu naisikia kwa mbali na kama hauko makini hauwezijua nlimwambia tu next time tukikutana nakuja na dawa ila sijamwambia anaumwa nini maana ni vigumu sana kulisema.
Ninachowaomba mnisaidie ni dawa gani nimnunulie ili iondoe hili tatizo alilonalo, bado halijawa kubwa maana harufu naisikia kwa mbali na kama hauko makini hauwezijua nlimwambia tu next time tukikutana nakuja na dawa ila sijamwambia anaumwa nini maana ni vigumu sana kulisema.