Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Kwa Tanzania Hospitali makini ni zipi hata kwa magonjwa mengine?Sasa we harufu ya mbali inakuwasha nini mkuu hayo ndio mambo ya flora na fauna kwenye kitendea kazi chenye afya! Cha msingi we lainisha kisha piga kazi, usisahau kinga!
NB: Kuna ugonjwa unaitwa chlamydia ni common sana kwa sexually active people hasa wale wanaopenda kavu na kuswap wapenzi kila mara, wenzetu Marekani na Ulaya wanautazama kwa makini sana baada ya Ghonohorea maana symptoms zake hazijapishana sana! Tafta hospitali makini mkapime hio kitu huenda ndio inaleta mushkeli mkuu dalili zake sio rahisi kuziona kwa mwanaume ila kwa mwanamke ni rahisi kidogo!
Ni changamoto mkuu maana mimi tokea nimeanza pima UTI mikocheni sijawahi kukutwa nayo, Malaria pia sijawahi iona ila unakuta najimezea dawa tu maana njiskia kuumwa!Kwa Tanzania Hospitali makini ni zipi hata kwa magonjwa mengine?
Harufu ndio starehe ilipo ushaona kuna samaki hana harufu?
Dadaz wengine hawachangii labda wanaona aibu! Back to the topic, nadhani bidada atakuwa free zaid kueleza tatizo lake kinagaubaga hosp. Issue ya kubadilisha sana wapenzi, kutumia dawa za uzazi wa mpango, hali Yake ya usafi n.k , sidhani kama anaweza kuwa huru kuiongea kwa mpenzi, tena kipya kinyemi! Aende tu hosp, maana hakuna namna
Nilimpenda gafla kama radi, sipo tayari kumpotezaKwanza nikupongeze kwa kuonesha ukomavu wa akili. Wengine wakikutana na ladies wenye hiyo hali huishia kuanzisha nyuzi za Kuwatukana badala ya kuwasaidia kama ulivyofanya.
Hilo Tatizo linatibika. Suluhisho ni hospitali. Ongea nae kwa upendo kuhusu hiyo hali ili akapate matibabu. Dawa ziko nyingi madukani ila visababishi vya tatizo ni Vingi pia. Nawatakia kila la heri.
Hana ni msafi tu kawaida, ila nahisi aliwahi kuwa playerJe ana Utoko ule mweupe unapomgegeda?
VizuriNilimpenda gafla kama radi, sipo tayari kumpoteza
Kwani alishaponaga..!!?Mkuu kwa hilo tatizo jaribu kuwasiliana na wolper maana ye ndo anajua tiba vizuri sana!
Kha jamaniMkuu kwa hilo tatizo jaribu kuwasiliana na wolper maana ye ndo anajua tiba vizuri sana!
Acha kuhisi mkuu sio poaHana ni msafi tu kawaida, ila nahisi aliwahi kuwa player