Msaada: Mrembo anatafuta mchumba wa kizungu

Msaada: Mrembo anatafuta mchumba wa kizungu

Shozylin

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
341
Reaction score
699
Wakuu habari za leo. Niende moja kwa moja kwenye mada, Nina rafiki angu ambae tumefahamiana kupitia social network, hatujawahi nana nae.

Ila huyu mrembo aliniweka wazi matamanio yake ya kupata mpenzi wa kizungu, nikamuelekeza apakue application za dating site kapakua ila inamtaka alipie, kwenye namna ya kulipia imemshinda wakuu.

Ni application gani ambayo ipo simple au Kama kuna mtu yoyote amewahi tumia application Kama hizo pls nakuomba inbox ili nikukutanishe na huyo mrembo umuelekeze.
FB_IMG_16619739015080329.jpg
 
Mrembo nipe maada wa ki mbinu hua mnafanyaje.?
Simu yenye kutumia whatsap anayo si ndio!anashindwa kwenda Kwa anko google huko kumuulizia hizo dating sites za wazungu.

Kama kugoogle tu hizo sites kashindwa mpka kakuomba uje umuulizie huku jf..hivi kweli akimpata huyo mzungu mwenyewe si atamlaza na njaa Kwa uvivu 🧐🧐

Hapana kwakweli
 
Back
Top Bottom