Msaada: Mrija wa uzazi ukuwa 'mild' kuna uwezekano wa kupata mtoto?

Msaada: Mrija wa uzazi ukuwa 'mild' kuna uwezekano wa kupata mtoto?

kayreen

Member
Joined
Apr 5, 2018
Posts
18
Reaction score
6
Jamani mimi ninatatizo la uzazi, mirija ya uzazi imeziba siwezi kupata mtoto. Ndoa yangu ipo matatani, daktari amesema mrija mmoja umeziba na mwingine ni mild.

Amenipa dawa nitumie kwa miezi sita, kwa matazamio nauliza mrija ukiwa mild kuna uwezekano wa kupona?
 
Pole sana dear. Pamoja na kutumia hizo dawa ulizopewa na dr.jaribu pia tiba mbadala kama mlonge, blackseed oil, n.k itakusaidia.
 
Pole sana mama. Mungu atakutetea.

jamani mimi ninatatizo la uzazi mirija ya uzazi imeziba siwez pata mtoto ndoa yangu ipo matatani doctor amesema mrija mmoja umeziba na mwingine ni mild.amenipa dawa nitumie kwa miez sita..kwa matazamio....nauliza mrija ukiwa mild kuna uwezekano wa kupona
 
Kwa nini usitafute rufaa kule India?. Wale ni watalaam sana.
 
Jamani mimi ninatatizo la uzazi, mirija ya uzazi imeziba siwezi kupata mtoto. Ndoa yangu ipo matatani, daktari amesema mrija mmoja umeziba na mwingine ni mild.

Amenipa dawa nitumie kwa miezi sita, kwa matazamio nauliza mrija ukiwa mild kuna uwezekano wa kupona?
Je maishani mwako haujawahi kushika ujauzito kabisa tuanzie hapo kwanza.
 
Je maishani mwako haujawahi kushika ujauzito kabisa tuanzie hapo kwanza.
cjawah kutumia njia ya uzaz wa mpango..cjawai pata wala toa mimba kifupi cjui mimba nini tangu kukua kwangu mpaka hvi leo ninamiaka 30.nimeshalia mpaka basi.
 
cjawah kutumia njia ya uzaz wa mpango..cjawai pata wala toa mimba kifupi cjui mimba nini tangu kukua kwangu mpaka hvi leo ninamiaka 30.nimeshalia mpaka basi.
Duuuh! pole sana dada hakuna sababu ya kukata tamaa ungali mzima na suala la mtoto kiimani nayo ni rizki kwa mwanadamu,ungali pumzi bado ipo endelea kumuomba muumba nna imani atasikia kilio chako,je kuhusu mzunguko wako wa kila mwezi unaupata kama kawaida?
 
Duuuh! pole sana dada hakuna sababu ya kukata tamaa ungali mzima na suala la mtoto kiimani nayo ni rizki kwa mwanadamu,ungali pumzi bado ipo endelea kumuomba muumba nna imani atasikia kilio chako,je kuhusu mzunguko wako wa kila mwezi unaupata kama kawaida?
napata hedhi kama kawaida
 
HOW?.. unaweza kuelezea kidogo na sisi tukapata ka elimu fulani
Utaalam sina, ila nilikuwa na changamoto ya uzazi. Hatua ya mwisho ilikuwa ni kuicheck mirija ya uzazi ili ijulikane kama imeziba au la. Na nikaambiwa kama itakuwa imeziba, kuna namna ya kuizibua.
 
Utaalam sina, ila nilikuwa na changamoto ya uzazi. Hatua ya mwisho ilikuwa ni kuicheck mirija ya uzazi ili ijulikane kama imeziba au la. Na nikaambiwa kama itakuwa imeziba, kuna namna ya kuizibua.
kuzibua kupo ni unazibuliwa na oparesheni.na kufanikiwa kwenye kuzibua ni asilia 10..doctor hakushauri oparesheni
 
Pole bibie, omba mungu atakujalia nawe uitwe mama
 
Mungu ni mweza wa yote atakusaidia utaoata mtoto, tena ndani ya muda mfupi ujao. Mwombe Mungu, kama utapata tiba mbadala tumia ila usitumie nguvu za giza, mwamini na umuombe Mungu atajibu. Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake.
 
Mungu ni mweza wa yote atakusaidia utaoata mtoto, tena ndani ya muda mfupi ujao. Mwombe Mungu, kama utapata tiba mbadala tumia ila usitumie nguvu za giza, mwamini na umuombe Mungu atajibu. Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake.
amina
 
Duuuh! pole sana dada hakuna sababu ya kukata tamaa ungali mzima na suala la mtoto kiimani nayo ni rizki kwa mwanadamu,ungali pumzi bado ipo endelea kumuomba muumba nna imani atasikia kilio chako,je kuhusu mzunguko wako wa kila mwezi unaupata kama kawaida?
Mirija kuziba haimanishi hapatI Period.

Siku anazipata kama kawaida hapa tatizo nikwamba Yai lamama halina njia ya kufikia Uterus .. Hii inamaana Mbegu za Baba haziwez kulifikia yai yaan zimetenganishwa na kuzibwa kwa Hii mirija.. ..no mimba.

Ila Siku atabakia kuzipata kama kawaida .
 
Back
Top Bottom