Mpeleke hospital haraka sana!!!!!!!!naombeni msaada tafadhar mwanangu hataki kula kabisa ana miezi 11 na alikataa ziwa akiwa na miezi 6.. yaani kula mpaka umkabe natumia nguvu nyingi kumkaba mpaka nahisi namuumiza. hataki maziwa na mkaba, bokoboko nalazimisha, ndizi, viazi yaani Nikila kitu, kasolo yai bichi nikitia chunvi nampa ndo simkabi na maji yakunywa tuuu. nsaidieni jaman. mda wakulishana mpaka napata mawazo sana hata yeye akiona chakula tuu kilio kinaanza