kitakali kiwofu
Senior Member
- Oct 3, 2013
- 173
- 24
hebu weka hiyo soundtrack tuisikie, kisha tukusaidie jina la wimbo.....
Shindwa pepo
Wadau , kama mnakumbuka wakati ule SAIGON AKIWA ANAENDESHA KIPINDI KIPINDI CHA HIPHOP HAPO EATV, KUNA BITI YA GOMA LA NAS ESCOBAR, ALIKUA ANATUMIA KAMA SOUNDTRACK, NISAIDIENI JINA LA WIMBO WA ILE BITI,,
NAJUA JF KUNA WANA HIPHOP WENGI TU. Msaada tafadhali.
Wadau , kama mnakumbuka wakati ule SAIGON AKIWA ANAENDESHA KIPINDI KIPINDI CHA HIPHOP HAPO EATV, KUNA BITI YA GOMA LA NAS ESCOBAR, ALIKUA ANATUMIA KAMA SOUNDTRACK, NISAIDIENI JINA LA WIMBO WA ILE BITI,,
NAJUA JF KUNA WANA HIPHOP WENGI TU. Msaada tafadhali.
Kutoka ktk "album" lake linaloitwa "I am" la mwaka 1999 lililotayarishwa ktk studio za Columbia records nakuletea Nas Jones aka Nas Escobar alongside P. Diddy kwenye "single" ya hip hop iliyofanya vyema ktk chart" za "Billboard" 1999 - 2000, HATE ME NOW!
Hate me now iyo ngoma Nas alitoa wakati amebadili mlengo kidogo na kujiingiza kwenye muzik wa commercial!ndo mana unamuona na kinara wa biashara p.didy!wakati huo watu wakaongea sana kumnanga nas ndo mana uwo wimbo ni km anajibu critics na "i dont care watchu say kind f lyrics"!..