Msaada!! Msaada!! Wana hiphop tafadhali nisaidieni jina la wimbo huu wa NAS ESCOBAR

kitakali kiwofu

Senior Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
173
Reaction score
24
Wadau , kama mnakumbuka wakati ule SAIGON AKIWA ANAENDESHA KIPINDI KIPINDI CHA HIPHOP HAPO EATV, KUNA BITI YA GOMA LA NAS ESCOBAR, ALIKUA ANATUMIA KAMA SOUNDTRACK, NISAIDIENI JINA LA WIMBO WA ILE BITI,,
NAJUA JF KUNA WANA HIPHOP WENGI TU. Msaada tafadhali.
 
hebu weka hiyo soundtrack tuisikie, kisha tukusaidie jina la wimbo.....
 
I think unaitwa You Can Hate Me Now
 

Da,

E bwana dah,
E bwana dah,

E bwana Oooi, oi oi.

Mzzzzuka,

Kalinye kalinye Episode.
 
u can hate me now....
but i wont stop....
coz i cant now...
u can hate me noooooooooooooooooooow....
 
 
thanks my pipo kwa ushirikiano wenu!!! !! Japo wadau SUCH A SONG IS NOT 'HATE ME NOW'COZ EVEN IN MY PC I HAVE THIS SONG.....
 
Hate me now iyo ngoma Nas alitoa wakati amebadili mlengo kidogo na kujiingiza kwenye muzik wa commercial!ndo mana unamuona na kinara wa biashara p.didy!wakati huo watu wakaongea sana kumnanga nas ndo mana uwo wimbo ni km anajibu critics na "i dont care watchu say kind f lyrics"!..
 

aisee jamaa alikua anakaza! Daahh,, but stil to me he is the best HIPHOP ARTIST
 
Hate me now ,make the world go round,zote commercial full kujisifia na kusifu anasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…