Nina mke wangu ni mjamzito wa miezi mi 4 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa na kutokwa na harufu kali sehemu za siri(ukeni) je nini tatizo? Alienda hospitali wakamchoma sindano ila tatizo bado linaendelea tu. Naombeni msaada wataalam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.