opwa
Member
- Jun 10, 2010
- 66
- 6
jamaa anadai yupo kwa love relation mda wa mwaka na binti aliyenaye mara alipompata binti alijinadi kuwa ni mhanga wa love pia alishawadamp wakaka wa3 kwa kumfanya kikaragosi, sasa jamaa anasema kwa mda wate huo HAJAMJUA mwenzake. kila anapojalibu kuleta romantic zone binti amekuwa akimpush, ikafika kipindi hata kiss tu aliambiwa hajazoea saaana.. sasa wiki ilopita alienda hostel aliko binti, mungu mkubwa alimkuta but na mkaka, akasalimia yule mkaka akaaga na atarudi, jamaa akapatwa dauti nae akaondoka, baada ya masaa 3 akarudi na kugonga alimkuta yule jamaa akiwa kitandani na kaoshi na mdemu wake kanga kiunoni na hakukuwa na rummet wengine huo mda wa saa 6 na usiku. binti akamwambia huyu ni rafiki yangu anakaa hostel za mbali hivyo hawezi ondoka usiku ule . . jamaa akabaki mweupe wa kauli na kujikuta akirudi nyuma na kuondoka. anata afanye revenge so watsup guys tumsaidie aweze rudi kifikra