Msaada: Msichana kikojozi

Kuna kaka mmoja nilifanya nae kazi ofisi moja. Siku moja alimpata mdada ofisi ya jirani, walikutana lunch. Mkaka kuhakikisha kunihadithia mtoto mzuri lakini anaonekana matawi.

Siku moja alifanikiwa kumtoa kwa kinywaji. Kule dada alizidiwa kumbe si mzoefu wa pombe. Baada ya glass mbili za wine dsda hajiwezi.

Kaka alichukua chumba hotelini. Asubuhi ananiambia ameamka na yeye mkojo boxer imelowa. Baada ya hapo hakuendelea nae tena.
 

Hawa vijana wa sasa ni ziro kabisa,badala ya kumsaidia anataka amkimbie arudi hostel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bint Wa kaka yangu alkuwa na tatzo km hlo hadi akiwa na miaka 22, akapatiwa dawa .... Sasa hv kaolew
na jamaa anajilia tu kwa raha zake.

Point yangu ni kwamba usimkimbie hlo tatzo linatbika kabisaaa, hebu niPM
Haaaa weka wazi mkuu wengi twahitaji ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naijua kama uko serious nipigie tuone nnamna ya kumsaidia .atapona baada ya muda mfupi
habari kaka nimeiona hii leo katika harakati za kutafuta dawa ya kukojoa kitandani na mm nahitaji hiyo dawa naomba mawasiliono tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…