Candela JF-Expert Member Joined Aug 12, 2021 Posts 817 Reaction score 2,180 Oct 5, 2023 #1 Wakuu nikitaka kufungua duka Zenji na mie naishi Bara kuna utaratibu wa kufuata au naweza tu jichanganya nao nikafungua nikaendela na business. Nataka kuweka branch Zanzibar lakini nature ya biashara yangu ni duka kubwa kama shopping center hivi.
Wakuu nikitaka kufungua duka Zenji na mie naishi Bara kuna utaratibu wa kufuata au naweza tu jichanganya nao nikafungua nikaendela na business. Nataka kuweka branch Zanzibar lakini nature ya biashara yangu ni duka kubwa kama shopping center hivi.
Chiblak JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 662 Reaction score 921 Oct 5, 2023 #2 Yakhee ngoja waje wajuzi wakujuze weyee