Msaada: Mti huu ni aina gani?

Msaada: Mti huu ni aina gani?

Kayoka

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
2,262
Reaction score
1,956
Salaam Wanajukwaa hapa JF,

Tafadhali naomba kujua aina ya huu Mti, matumizi, faida na hasara zake kwa jamii.

Nimeukuta shambani.

IMG_20191017_182850.jpg
IMG_20191017_182848.jpg
 
Nimelipenda hilo shamba, very fertile! Ni mkoa gani huo mkuu? Ila huo mti Mimi siujui!

Mkoa wa Ruvuma.

Nasafisha shamba kwa ajili ya kilimo, sasa najaribu kufanya mchujo na kuacha baadhi ya miti ila huo mti nimeshindwa kujua ni aina gani, faida na hasara zake.
 
Huo ni mnyege nyege mkuu. Unatafutwa sana na ni adimu. Faida zake ni pamoja na kuongeza nguvu za kiume.
 
Mkuu mbona gizagiza au ulikuwa unafyatuana na mtu?, piga picha wakati wa mchana wa jua ili tuone vizuri tukusaidie vizuri
 
Mkoa wa Ruvuma.

Nasafisha shamba kwa ajili ya kilimo, sasa najaribu kufanya mchujo na kuacha baadhi ya miti ila huo mti nimeshindwa kujua ni aina gani, faida na hasara zake.
Mko wa Ruvuma maeneo gani labd nije nkupige campn
 
Hakuna Botanist atwambie au piga picha kuna application inatambua aina ya miti
 
Majani ya huo mti ni dawa ya nguvu za kiume kama utaweza chuma uje kuuza hapa dar
 
Ni mti wa kawaida tu kama miti mingine tu! Ila kule kijijini kwetu Iringa, kulikuwa na mzee mmoja upo nje kwake mrefu balaa, nlikuwa naona watu wana chukua magome yake wanayakausha alafu ukiyasaga ule unga wake ukiramba ni mchungu subiri Ikasome, yani hapo hata kama ulikuwa na tumbo la kuhara, kuuma, au minyoo ndio mwisho wake.
 
Alafu pia huo mti unatabia ya kurefuka ikiwa mapacha kama hivyo.
 
Ni muhembe pori huo usiukate ni utajiri,majani yake ukiyaweka chini ya mto ukalalia asubuhi unakuta unachokitafuta katika ndoto ya mafanikio yako.
 
Mkoa wa Ruvuma.

Nasafisha shamba kwa ajili ya kilimo, sasa najaribu kufanya mchujo na kuacha baadhi ya miti ila huo mti nimeshindwa kujua ni aina gani, faida na hasara zake.
Nimependa neno Ruvuma.
Mkuu nipe location nije tusaidiane kuutambua huo mmea.
 
Back
Top Bottom