Msaada: Mti huu ni aina gani?

Bonge la dili huo mti, majani yake kuna namna ya kutengeneza badae unachanganya na chumvi na maji unasukutua na kutena huku ukitaja jina la mwanamke unaemtaka mara nne, hapo hata awe alikua hakutaki lazima akubali. Nakutafuta mkuu tutengeneze dawa hyo inalipa kinoma.
 

🤔🤔
 
Naujua kama Anth'la huwa unajiotea wenyewe katika kanda za kitropiko, unasaidia magonjwa kama malaria kisukari taifodi minyoo gono hernia homa cancer n.k. pia hupunguza kitambi na kuongeza nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…