Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpe mavi ayatapikeWasalam wana jamvi,
SERIUS PLEASE
Mtoto miaka miwili na nusu amekunywa mafuta ya taa akidhani ni maji, je nini tiba ya haraka na madhara yake.
Wewe ni mkundu....mpe mavi ayatapike
Mtu Ana mtoto amekunywa mafuta ya taa,anatakiwa ampeleke hospitali kama hawezi kumfanyia huduma ya kwanza kuokoa uhai wake,anapata muda saa ngapi wa kuwasha data atuulize?mimi na wewe tako ni nani?tafakari kijana sio kila mtu anampakata mama yako.Wewe ni Makalio....
Wewe ni Makalio....
Yaaan shda skuhz watu wanataka kila ktu wakfanye kwny mitandao yakijamii. Huo mda aloandka post angeshafka hosptal.Mafuta ya taa ya sasa hivi ni sumu tupu yaan badala ya kumpeleka mtoto hospitali unakimbilia Jf...yaan wewe kwa jinsi ninavyopenda watoto halafu unafanya mchezo na mtoto kwenye kitu cha hatari kama hicho[emoji38][emoji38] nahisi bado ujajua uchungu wa mtoto...Mfyuuuuu
NOTE. Jamani mtu anapo uliza kitu haina maana anategemea hapo Moja kwa moja. Ila kuna muda unakuwa upo out of your mind hujui nini madhara ya hicho kitu pia kwa wakati huo huna msaada hasa kwa sisi ambao wataalamu wapo mbali kidogo(hospitali)
Pole, kulea kuna changamoto nyingi.NOTE. Jamani mtu anapo uliza kitu haina maana anategemea hapo Moja kwa moja. Ila kuna muda unakuwa upo out of your mind hujui nini madhara ya hicho kitu pia kwa wakati huo huna msaada hasa kwa sisi ambao wataalamu wapo mbali kidogo(hospitali)