Msaada: Mtoto anaharisha na kutapika; hospitali wamesema ana meno ya plastiki

uroto

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
442
Reaction score
227
Wasaalam ndugu zangu wa jukwaa hili

mwanangu ana miezi 9,hvi karibuni amekuwa akiharisha sana na kutapika sana,nlipompeleka hospitally alipewa dawa za kutumia lakini mpaka zimeisha hajapata nafuu...

na ikagundulika ana meno ya plastic,wakayasaga yale meno,

ushauri wenu mnaojua dawa au mliowahi kukutana na tatizo kama hli la mwanangu mnisaidie njia au dawa mlitumia

Asanteni
 
Pole. Hiyo ya meno ya plastic Sijawahi isikia. Ndo wewe umejifumbua macho. Suluhu hapo rudi tu hospitali waeleze hali halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…