Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,448
- 1,624
Anatimiza miaka 8 1st May. Hakika nilikuwa na wazazi na waluokuwepo you could tell ni junior sana, possible hata interns bado. Hawakutoa dawa zaidi ya massage ya shingo na kusema hawaoni tatizo. Nilishangaa.
pole sana mkuu,ndo maana hata mimi nilishtuka why Dr mkubwa aseme haoni tatizo wakati mzazi anakwambia alikuwa mzima tu, you need to find a problem. if is that the case then i understand, hata mimi nilipokuwa Muhimbili enzi hizo nilikuwa nafanya part time nikiwa bado student, ingawa ni kosa kisheria sas hatujui huyo uliyemkuta ni mwanafunzi au ni graduate ila mwajili wakendo anajua. anyway tujadili shida ya dogo